Gharama za PAMOJARISE

Chagua mfumo unaofaa kikundi chako. Mifumo yote ni salama, rahisi kutumia na ina uongozi kamili wa fedha za kikundi.

Ufuatiliaji wa miamala 24/7
Msaada wa haraka
Uhifadhi salama wa taarifa

PAMOJA MINI

Mfumo wa kusimamia tu - Tunasaidia kuhifadhi na kuchanganua taarifa

TZS 50,000/=TZS 30,000/=
kila mwezi
🎉 Punguzo la 40%

Huduma zilizojumuishwa:

Kiongozi wa kikundi anaingiza taarifa za miamala, vingine vyote tunafanya
Kuhifadhi na kuchanganua vizuri taarifa za miamala ya kikundi
Picha kamili ya kikundi chako, muda wote popote ulipo
Hesabu automatic za kila mwanachama na kikundi
Ripoti za fedha unazipata muda wowote
Msaada wa haraka wa kiufundi
Inafaa kwa:
  • • Vikundi vya wanachama walio karibu
  • • Vikundi vyenye mfumo wao wa kutunzia pesa (M-KOBA, Benki)
  • • Vikundi vinavyotaka uchambuzi wa miamala tu
Anza na PAMOJA MINI
⭐ Inapendekezwa

PAMOJA MAX

Mfumo kamili wa kifedha - Tunakusaidia kuhifadhi fedha za kikundi

TZS 20,000/=
kila mwezi
+ ada ya kutoa pesa kwa kila muamala

Huduma zilizojumuishwa:

Uhifadhi salama wa fedha za kikundi kwenye mfumo wetu
Malipo na kutoa pesa automatic - hakuna haja ya kiongozi kuingiza taarifa
Inafaa kwa wanakikundi walio mbali
Hawana sehemu salama ya kuhifadhia fedha za kikundi
Mfumo wa malipo wa kisasa
Ripoti za kila wakati za miamala
Msaada wa haraka 24/7
Inafaa kwa:
  • • Vikundi vya wanachama walio mbali
  • • Vikundi visivyo na mfumo salama wa kuhifadhi fedha
  • • Vikundi vinavyotaka huduma za kiotomatiki
Anza na PAMOJA MAX

Linganisha Mifumo

Ona tofauti kuu kati ya PAMOJA MAX na PAMOJA MINI

KipengelePAMOJA MAXPAMOJA MINI
Uhifadhi wa fedha
Tunakuhifadhia
Wewe mwenyewe
Malipo automatic
Kuingiza taarifa
Automatic
Kiongozi anaingiza
Ripoti na uchambuzi
Gharama ya mweziTZS 20,000/=
+ ada ya kutoa
TZS 30,000/=
Punguzo 40%

Maswali Yanayoulizwa Mara Nyingi

Je, ninaweza kubadilisha kutoka PAMOJA MINI kwenda PAMOJA MAX?

Ndio, unaweza kubadilisha muda wowote. Tutakusaidia kuhamisha taarifa zako zote.

Je, fedha zangu ni salama katika PAMOJA MAX?

Ndio kabisa. Tunatumia teknolojia ya kisasa ya usalama na fedha zako zimehifadhiwa kwa usalama mkuu.

Je, kuna ada za ziada za kufichwa?

Hapana. Gharama zote zimeelezwa wazi. PAMOJA MINI ni TZS 30,000/= tu, na PAMOJA MAX ni TZS 20,000/= + ada za kutoa pesa.

Je, nina punguzo la muda gani?

PAMOJA MINI ina punguzo la 40% kutoka bei ya asili ya TZS 50,000/= hadi TZS 30,000/=

Tayari Kuanza Safari Yako?

Anza kutumia PAMOJARISE leo na uone jinsi gani kikundi chako kitavyostawi na teknolojia ya kisasa